Mkurugenzi wa Kagera Islamic Development Organisation-KIDO Sheikh Shahidu Idd Msafiri mkoani kagera ambaye anasimamia shule za KIDO yaani Kabwoba English Medium Primary School na Kabwoba Secondary School ametoa pendekezo la kuanzisha chuo cha Kuhifadhi Qur'an tukufu shuleni hapo ili vijana wa Kiislamu waweze kujifunza Uislamu na kuhifadhi Qur'an takatifu. Anaomba waislamu wenye kutaka radhi za Allah(SW) wachangie kwa hali na mali ujenzi wa chuo hicho.
Ukitaka kuona shughuli za shule za KIDO kabwoba tembelea tovuti hii: www.kabwobaschools.com

WhatsApp :+255621870342. Muabudu Mungu mmoja wa Pekee na hana mshirika, Hakuna Mtume aliyetumwa kama Mungu wala Mwana wa Mungu. (Qur'ani) Al Imran 3.31,Yohana 7.16-18. Shetani na kundi lake miongoni mwa wanadamu amejizatiti kuwapotosha watu kupitia shida mbali mbali. Imani kuhusu Mungu mmoja wa pekee ndo suluhisho la kudumu na kuishi na matumaini hapa duniani. Wasiliana nasi upate ushauri na tiba WhatsApp :+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com, +255 762053174
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA