Sunday, December 11, 2011

Mkurugenzi wa KIDO Kabwoba atamka nia yake ya Kuanzisha Chuo Cha Kuhifadhi Qur'an Wilayani Bunazi sehemu ya Kabwoba.

Mkurugenzi wa Kagera Islamic Development Organisation-KIDO Sheikh Shahidu Idd Msafiri mkoani kagera ambaye anasimamia shule za KIDO yaani Kabwoba English Medium Primary School na Kabwoba Secondary School ametoa pendekezo la kuanzisha chuo cha Kuhifadhi Qur'an tukufu shuleni hapo ili vijana wa Kiislamu waweze kujifunza Uislamu na kuhifadhi Qur'an takatifu. Anaomba waislamu wenye kutaka radhi za Allah(SW) wachangie kwa hali na mali ujenzi wa chuo hicho.
Ukitaka kuona shughuli za shule za KIDO kabwoba tembelea tovuti hii: www.kabwobaschools.com

No comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA