Sunday, December 11, 2011

KIDO-Kagera Islamic Development Organisation wafungua shule za Sekondari mbili mkoani Kagera

Shirika la kiislamu kwa ajili ya kuanzisha miradi mkoani Kagera liitwalo KIDO limefungua shule za sekondari katika wilaya ya Bunazi sehemu ya Kabwoba na Karagwe sehemu ya Kagenyi Lubwera. Vituo hivyo vinaonyesha kufanya vizuri chini ya uongozi wa Mwenyekiti Mzee Ibrahimu Bigwomunda akisimamia mradi wa KIDO Boarding Institute Karagwe ikiwemo Primary-English Medium and Secondary na Mkurugenzi Shahidu Idd Msafiri akisimamia Bunazi Kabwoba KIDO projects ikiwemo Kabwoba English Medium Primary School na Kabwoba  Secondary School.
Tunaomba wananchi wapenda maendeleo waunge mkono juhudi za shirika hili ili liweze kuleta maendeleo zaidi mkoani Kagera.

No comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA