Wednesday, December 14, 2011

ADHABU 15 KWA ASIYESWALI-ZIMEKUSANYWA NA YAHYA ABDULKARIMU KAYANGA KARAGWE

Assalamu Aleikum.
Nimetumiwa na Yahya abdulkarimu hizi adhabu 15 za mtu asiyeswali nami nikaona niziweke kwenye mtandao ili waislamu wengine wazisome na wajiepushe na uzembe wa kutoswali ili wasijepata adhabu hizi!
  1. Uhai wake huondoshewa baraka
  2. Huodelewa katika waja wema
  3. Matendo yake hayana malipo
  4. Dua zake hazijibiwi
  5. Ulaaniwa na kila kitu
  6. Hana fungu katika dua za waja wema
  7. Ufa na njaa kali wakati wakutoka roho
  8. Ufa dhalili
  9. Ubanwa na kaburi
  10. Kaburi lake uwashwa moto
  11. Ufa na kiu kikali wakati wa kutoa roho
Tafadhali zilizobaki 4 uongezee kwenye comment na wewe Allah(SW) atakulipa kwa kufikisha kama Yahya Abdulkarimu alivyojitahidi kufanya hivyo na tunamuombea kwa Allah azidi kumpa imani na kujifunza dini yake.

No comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA