Sheikh Musa Abeid aliwambia waislamu kuwa kuabudu nyota na kuamini nyota za kiutabiri ni shirki kama shirki nyimgine na ikienda mbali zaidi inakuwa ni uchawi.
Sheikh Musa Abeid amesema kazi ya Nyota za angani ni tatu kwa mujibu wa Qur'an hasa katika Suratil Li Mulki na Assafaati:
Kupamba mbingu ya Karibu
Kushambulia mashaytwani yenye mbawa za kuelea angani pindi yakikaribia anga za juu
Kuongeza wasafiri wa nchi kavu na baharini yaani ni kama dira kwa wanajimu na watu wenye kufuatilia tabia za baadhi ya nyota.
Kwa hiyo ushirikina ni jambo baya na dhambi kubwa na wachawi hukumu yao ni kukatwa kichwa na hii inaashiria kuwa uchawi na ushirikina ni dhambi kubwa, tumtegemee Allah(SW) kama mlinzi na tumche yeye peke yake na yeye ameahidi kutulinda wa wachawi na sheitani muovu.
WhatsApp :+255621870342. Muabudu Mungu mmoja wa Pekee na hana mshirika, Hakuna Mtume aliyetumwa kama Mungu wala Mwana wa Mungu. (Qur'ani) Al Imran 3.31,Yohana 7.16-18. Shetani na kundi lake miongoni mwa wanadamu amejizatiti kuwapotosha watu kupitia shida mbali mbali. Imani kuhusu Mungu mmoja wa pekee ndo suluhisho la kudumu na kuishi na matumaini hapa duniani. Wasiliana nasi upate ushauri na tiba WhatsApp :+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com, +255 762053174
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA