Friday, September 30, 2016

Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, kuchanjwa na kuota unafanya mapenzi


Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, kuchanjwa usiku, kuota unafanya mapenzi na watu wa kutisha, wanyama, n.k

Hii hali ya Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, kuchanjwa usiku, kuota unafanya mapenzi na watu wa kutisha, wanyama, n.kuchanjwa usiku, kuota unafanya mapenzi na watu wa kutisha, wanyama, n.k ni dalili za wachawi wanaotumia majini na mizimu kuingia ndani ya nyumba usiku na kuchezea wanadamu wenzao. Hii na silazilama waje usiku hata wakiwa mbali wanaweza wakatuma mashetani ambao wamefanya urafiki nao kwa kutii amri za mashetani badala ya Mwenyezi Mungu Muumba kwa kufanya makafara mara kwa mara.Tiba ya kufukuza ndani ya nyumba zipo zaidi ya moja lakini nyepesi ni ya kujifukiza na kufukiza nyumba ndani dawa, dawa hii ni kama unavyo nunua dawa ya mbu au wadudu ukawafukuza na kuwaua kwa kupulizia ndani ya nyumba.
Kama mtu anaota ndoto za kutisha na kufanyiwa mambo mabaya usiku kama mwanamke kuingiliwa na mwanaume kuota anafanya mapenzi na mwanamke asiyemjua na hata akiwa anamjua. Asubuhi kuamka umechanjwa au una mikwaruzo mwilini usiyojua chanzo chake au kuamka umeteguka mguu au kukata tamaa na kujiona hufai, kuchukiwa na kila mtu, n.k
Tiba ya hali hii na kupata dawa ya mchanganyiko ya kujipaka mwili mzima kabla ya kulala ili masheitani na uchawi vinavyokusumbua na kukuweka katika mazingira yasiyokuwa ya kawaida kisaikologia vyote viondoke na uwe salama kwa Uwezo wake Mwenyezi mungu. Na hata mchawi akija kukugusa usiku atapata cha moto ukiwa umelala umejipaka dawa hii katika hali ya mafuta.

Mafuta na Sabuni ndio tiba kubwa ya mambo hayo kwa baraka za Mungu muweza aliyeumba miti na mimea ya kutoa madawa na mafuta . Kama uchawi uko mwilini na maradhi mengine sugu kuna dawa ya kunywa imesagwa ikiwa mchanganyiko wa dawa zaidi ya 32 za asili bila kemikali kwa tiba ya maradhi mengi.



Ushauri na Tiba: Mawasiliano : Email:tibaherbs@gmail.com
+255762053174/+255621870342
Tuna ofisi DSM na BUKOBA. Tanzania

No comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA