Sunday, October 4, 2015

Madawa yenye nguvu katika tiba za maradhi sugu ukiwemo uchawi

Utafiti unaonyesha kuna magonjwa mengi siku hizi ambayo hospitali wanashindwa kutibu hasa yale yasiyohitaji opereisheni kiasi kwamba mgonjwa anaangaika sana bila kupona lakini kwa uwezo wa Mungu anapata dawa kutoka kwa mtu kwa gharama kidogo na anapona baada ya kuzunguka mahospitali makubwa bila kupona. Yote hii ni uwezo wa Mungu mmoja aliyeumba kila kitu naye ndo tabibu mkuu zaidi. Kwa baraka na neema zake unapona kwa dawa zetu kama una magonjwa ya ajabu ajabu na vipimo havionyeshi sababu wazi ya kuumwa kwako.

Mfano wa magonjwa sugu:
  • Kuhisi moto kwenye miguu
  • Kufa ganzi baadhi ya viungo
  • Kuota ndoto za mapenzi kila mara na watu au wanyama
  • Kuota ndoto za kutisha kama majoka, mapaka, watu wanakushambulia
  • Kuota unaingia kwenye maji machafu
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na sehemu za chooni unaota upo
  • Kuota marehemu manongea mara kwa mara
  • hasira zaidi ya kawaida
  • Kuhisi mwili una vichomi
  • Kuhisi uzito mabegani
  • Kukosa choo mara nyingi na unapata kwa shida mpaka unaweza toka damu
  • Kuhisi tumbo lina vitu vinajiviringisha na minyoo umepima huna
  • Kuhisi joint zinauma sana na malaria huna wala taifodi
  • Kustuka na kujitingisha wakati wa kukaribia kusinzia
  • Kuhisi umesimamiwa na mtu au nyuma kuna yako kuna mtu
  • Kuhisi moyo unaogopa na kuwa na wasi wasi
  • Kuchoka kila asubuhi ukiamka mchovu bila sababu za kiafya
  • Kutoka mimba kila mara
  • Kutopata hedhi kwa mfumo wa kueleweka, mara nyingi sana, mara ipite muda mwezi bila kuingia nk
  • kuingia hedhi na ukakaa muda mwingi zaidi ya siku za kawaida na hata mwezi mzima damu inatoka
  • Kukauka sehemu za siri na kuchubuka wakati wa tendo la ndoa
  • Kukosa nguvu za kiume au kike na kuchukia mambo hayo bila sababu ya msingi 
  • Kuhisi kichwa kinataka kuchanganyikiwa na kuhisi vichomi kichwani na malaria umepima huna
  • Kuumwa chini ya kitovu
  • moyo kuchomwa chomwa kama sindano hivi
  • Kutingishila sehemu za mwili bila sababu
  • Kuhisi kifua kinabana sana

Wasiliana nasi upate ushauri na tiba Mungu atakusaidia utakuwa sawa kwa uwezo wake Mkubwa! 
Tuna ofisi DSM -Vinguguti na BUKOBA - Karibu na Victorius Hotel-OPPOSIE na LINAS CLUB nchini Tanzania
Mawasiliano ya simu: +255 762053174/+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com

No comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA