Monday, August 27, 2012

Aboud Rogo apigwa risasi

Watu ambao hawajajulikana wamemuua Sheikh na mhubiri mashuhuri Kenya na Afrika Mashariki  Aboud Rogo. hii inaonyesha uadui kwa waislamu nchini Kenya na ulimwengu kwa ujumla hasa wale wanaopimga uonevu na dhuluma zidi ya ndugu zao waislam.

Aboud Rogo amesingiziwa sana na maadui wa uislamu kwa kushirikiana na waislamu masheikh wanafiki na wenye kuona wataishi duniani milele kumbe wote ni wa kufa ila tutakuwa na heshima tofauti baada ya kufa mbele ya Allah(SW).

Kuna wanadamu duniani wanaokaa usingizini na wataamka baada ya kufa kwani ndo watapata ushahidi wa yaliyopo mambo huku kaburini na barzakh na hapo wazinduka wakiona kuta za kaburi na watakuwa ni wenye kujuta na hawataweza kurudi duniani kufanya mema, kwa hiyo kufa kwa Aboud Rogo siyo mwisho wa kutetea haki bali ndo sasa watatokezea Aboud Rogo wengi na wenye Msimamo zaidi na nia thabiti.

Mungu atujalie tufikie msimamo wa Aboud Rogo na kuzidi hapo ili tutoke duniani tukiwa tumefanya mambo anayopenda Allah(SW) kwa kuzingatia Qur;an na Mafunzo ya mtume bila kuogopa kusema haki mbele ya viumbe wote.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.

KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:

+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617

Email: tibaherbs@gmail.com

Friday, August 17, 2012

Waislam na Sensa Tanzania 2012

Kutokana na hali halisi waislam nchini wameahidi kwa pamoja na kwa kuonyesha wingi kuwa hawatashiriki sensa ya mwaka huu 2012 mwezi August kwa sababu kipengele cha dini kimeondolewa na serikali.

Viongozi wa jumuiya za kiislamu Tanzania wametoa tamko mapema na kuipa taarifa serikali kuwa bila kipengele hicho cha dini kurudishwa kwenye dodoso za sensa kama nchi zingine wanavyofanya waislamu hawatashiriki kuhesabiwa.

Serikali imekataa kukubali kurudisha kipengele hicho na huku vyombo vya habari kama TBC1 ikitoa asilimia ya waislamu kuwa ni wachache nchini na kanisa katoliki kutoa idadi ya kwao na hii inaonyesha wameisha fanya ya kwao na kutoa takwimu kuwa waislamu ni wachache.

Sasa hii hali inalazimisha waislamu nchini kutaka kipengele cha dini kurudishwa ili ukweli ubainike na tupate takwimu halisi kwa asilimia kuhusu wingi wa waislamu au uchache wao na si kutegemea TBC1 na kanisa ambao walifanya sensa ya kwao wanavyojua walifanya ni wenyewe kwa malengo yao kutangaza waislamu wangapi nchini wana maana gani? Kuondoa mzizi wa fitina ni kurudisha kipengele cha dini.


Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.

  • Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
  • Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
  • Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
  • Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
  • Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
  • Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
  • Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
  • Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
  • Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
  • Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
  • Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
  • Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
  • Kuongea usiku na kupiga kelele
  • Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
  • Kuota uko msituni mara kwa mara
  • Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
  • Kuota uko makaburini mara kwa mara
  • Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo
  • Kutingisha baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
  • Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
  • Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghafla

Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi


Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO




3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.

Friday, August 10, 2012

Kila muislam inabidi asome aya hizi kwa makini


AYA  ZINAZOONYESHA UFUFUO NA QIYAAMA.

Sura ya 36:78.
     Na  akatupigia mfano, na akasahau kuumbwa kwake, akasema: Ni nani  atakaye ihuisha mifupa nayo imekwisha  mung’unyika?

Sura ya 36:79.
     Sema:  Ataihuisha  huyo huyo aliye iumba hapo mara ya  mwanzo. Na  yeye ni mjuzi wa kila kuumba.

Sura ya 36:80.
       Aliye kujaalieni  kupata moto kutokana na mti wa kijani nanyi mkawa kwa huo mnawasha.

Sura ya 36:81.
         Kwani aliye ziumba mbingu na ardhi hawezi kuwaumba mfano wao? Kwani Naye ndiye Muumbaji Mkuu, Mjuzi.

Sura ya 36:82.
        Hakika amri yake anapotaka kitu ni  kukiambia tu: kuwa na kikawa.

Sura ya36:83.
          Basi Ametakasika yule ambaye mkononi mwake umo Ufalme wa kila kitu; na kwake Yeye mtarejeshwa.

Sura ya 45:24.
          Na walisema: Hapana ila huu uhai wetu wa duniani- twafa na twaishi, na hapana kinacho tuhiliki isipokuwa dahari. Lakini wao hawana ilimu ya hayo, ila wao wanadhani tu.

Sura ya 45:25.
          Na wakisomewa  Aya zetu zilizo wazi hawana hoja ila kusema: Waleteni baba zetu, ikiwa nyinyi ni wasemao kweli.

Sura ya 45:26.
          Sema Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kasha anakufisheni, kisha anakukusanyeni siku ya qiyaama isiyo na shaka. Lakini watu wengi hawajui.

Sura ya 45:27.
           Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi.Na siku itapo simama saa ya Qiyaama, siku hiyo wataangamia wenye kushikamana na upotovu.

Sura ya 45:28.
            Na utaona kila umma umepiga magoti, na kila umma utaitwa kwenda soma kitabu chake: Leo mtalipwa mliyokuwa mkiyatenda.
  
Sura  ya45:29.
            Hiki kitabu chetu kinasema juu yenu kwa haki. Hakika sisi tulikuwa  tukiyaandika mliyo kuwa mkiyatenda.

Sura ya 45:30.          
             Ama walio amini wakatenda mema, Mola wao Mlezi  atawatia katika  rehma yake. Huko ndiko kufuzu kuliko wazi.

Sura ya 45:31.
               Na ama walio kufuru, wataambiwa: Kwani  hamkusomewa aya zangu nanyi mkapanda kichwa, na mkawa watu wakosefu?

Sura ya 45:32.
               Na ikisemwa : Hakika ahadi ya Mwenyezi Mungu  ni kweli, na saa haina
shaka, nyinyi mkisema: Hatujui hiyo saa, tunadhani dhani tu, wala hatuna yakini.

Sura ya45:33.
               Basi ubaya wa walio yatenda utawadhihirikia, na yatawazunguka walio yafanyia masikhara.

Sura ya 45:34.
                Na itasemwa: Leo tunakusahauni kama nyinyi mlivyo sahau mkutano wa siku yenu hii; na mahali penu ni Motoni, wala hamna wa kukunusuruni.

Sura ya45:35.
                Hayo ni kwasababu nyinyi mlizifanyia mzaha Aya za Mwenyezi Mungu;na maisha ya dunia yakakudanganyeni. Basi leo hawatatolewa humo wala hao hawatakubaliwa udhuru wao.

Sura ya 45:36.
                Basi  sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa mbingu, na Mola Mlezi wa ardhi, na Mola Mlezi wa Walimwengu wote.

Sura ya 45:37
              Na ukubwa ni wake ni wake  Yeye  tu, mbinguni na katika ardhi ,naye ni Mwenye  nguvu , Mwenye hikma.


Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.

  • Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
  • Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
  • Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
  • Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
  • Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
  • Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
  • Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
  • Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
  • Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
  • Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
  • Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
  • Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
  • Kuongea usiku na kupiga kelele
  • Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
  • Kuota uko msituni mara kwa mara
  • Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
  • Kuota uko makaburini mara kwa mara
  • Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo
  • Kutingisha baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
  • Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
  • Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghafla

Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi


Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO




3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.

Thursday, August 9, 2012

Namna ya kuondoa uchawi mwilini na kufukuza majini

Kwanza kabisa uchawi upo, hii inatokana na maandishi yaliyoko kwenye vitabu vya dini kama Qur'an, Injili, Taurati, Zaburi. Pia matukio ya kukamata wachawi usiku na wao kukiri kuwa wanaroga wenzao, kwa sasa watu wanaologwa idadi imeongezeka na uchawi umekithiri.

Ukitaka kujua zaidi fuatilia kwenye mtandao vyuo vya kufundisha uchawi vimezidi kuanzia ulaya hadi Asia ni vya wazi ila Africa bado ni vya kuficha, hii inaonyesha shetani alivyo jizatiti kinguvu za giza.

Msaada kwa mwanadamu ili aepuke janga hili ni kumtegemea Mwenyezi Mungu mmoja aliyeumba kila kitu na hata huyo sheitwani ni kiumbe chake, ukiisha mtegemea Mwenyezimungu kiukweli kwa dhati ya kutoka moyoni mwako kuwa anaweza kushinda basi atashinda kweli, na hii iambatane na kuacha maasi kama zinaa, wizi, uongo, fitina, husuda ya uadui, ushirikina, pombe, kula riba, rushwa, n.k

Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.
  • Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
  • Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
  • Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
  • Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
  • Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
  • Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
  • Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
  • Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
  • Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
  • Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
  • Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
  • Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
  • Kuongea usiku na kupiga kelele
  • Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
  • Kuota uko msituni mara kwa mara
  • Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
  • Kuota uko makaburini mara kwa mara
  • Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo
  • Kutingisha baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
  • Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
  • Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghafla

Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi


Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.

Mawasiliano ya simu: +255 762053174/+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com

 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL SOAP-sabuni yenye dawa zenye nguvu kuondoa athari za nguvu zote za giza kama nuksi na mikosi
 

2.POWERFUL OIL



HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
3.MT32


 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO


4.SAFISHA




 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.



Mawasiliano ya simu: +255 762053174/+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com


Jeshi la Mwenyezi Mungu muda wote ni lenye kushinda na jeshi la sheitwani yaani majini, wachawi, mizimu, n.k ni vyenye kushindwa vibaya sana.

kwa hiyo Dawa hii ya kuondoa uchawi mwilini iambatane na Imani ya kuamini Mwenyezi Mungu Mmoja na kuamini kuwa Mitume wote walikuwa wajumbe wake kwa mwanadamu ili aongoke na kuamini kuwa Mtume Muhammad (SAW) ni mtume wa mwisho na ni kwa ajili ya ulimwengu wote.







Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, kuchanjwa usiku, kuota unafanya mapenzi na watu wa kutisha, wanyama, n.k

Hii hali ya Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, Kuota ndoto za kutisha, kulishwa vitu, kuchanjwa usiku, kuota unafanya mapenzi na watu wa kutisha, wanyama, n.kuchanjwa usiku, kuota unafanya mapenzi na watu wa kutisha, wanyama, n.k ni dalili za wachawi wanaotumia majini na mizimu kuingia ndani ya nyumba usiku na kuchezea wanadamu wenzao. Hii na silazilama waje usiku hata wakiwa mbali wanaweza wakatuma mashetani ambao wamefanya urafiki nao kwa kutii amri za mashetani badala ya Mwenyezi Mungu Muumba kwa kufanya makafara mara kwa mara.
Tiba ya kufukuza ndani ya nyumba zipo zaidi ya moja lakini nyepesi ni ya kujifukiza na kufukiza nyumba ndani dawa, dawa hii ni kama unavyo nunua dawa ya mbu au wadudu ukawafukuza na kuwaua kwa kupulizia ndani ya nyumba.
Kama mtu anaota ndoto za kutisha na kufanyiwa mambo mabaya usiku kama mwanamke kuingiliwa na mwanaume kuota anafanya mapenzi na mwanamke asiyemjua na hata akiwa anamjua. Asubuhi kuamka umechanjwa au una mikwaruzo mwilini usiyojua chanzo chake au kuamka umeteguka mguu au kukata tamaa na kujiona hufai, kuchukiwa na kila mtu, n.k
Tiba ya hali hii na kupata dawa ya mchanganyiko ya kujipaka mwili mzima kabla ya kulala ili masheitani na uchawi vinavyokusumbua na kukuweka katika mazingira yasiyokuwa ya kawaida kisaikologia vyote viondoke na uwe salama kwa Uwezo wake Mwenyezi mungu. Na hata mchawi akija kukugusa usiku atapata cha moto ukiwa umelala umejipaka dawa hii katika hali ya mafuta.

Mawasiliano: Upate huduma

+255762053174/+255621870342



Islamic Teachings-Fiqh


FIQ-H   A’QAA-ID

A’qaa-id (belief) regarding Taw-hiid (the Oneness) OF Allah Taa’la.

1. Allah Taa’la is one.
2. Allah Taa’la has no partner.
3. Allah   Taa’la has no parents.
4. Allah Taa’la   has no children.
5. Allah Taa’la   has no family.
6. Allah Taa’la   has always been.
7. Allah Taa’la    will remain for ever.
8. Allah Taa’la   controls the universe.
9. Allah Taa’la    does not need anything.
10. Everything is in need of Allah Taa’la.
11. Allah Taa’la is present everywhere.
12. Allah Taa’la knows that happens everywhere.
13. Allah Taa’la   does not eat, drink or sleep. 

Kalimatut Sha-haadah.

Ash- hadu  allaa  ilaaha  illa  llah  wa  ash  hadu  anna  Muhammadan  a’bduhu  wa  rasuuruhu

Meaning:

I bear witness that there is none  worthy  of  worship  besides  Allah,  and  I  bear  witness  that  Muhammad  (s.a.w)  is  His  Servant  and  His  Messenger. (Muslim, Abu Daau’d)


FIQ-H   DIINIYAAT

Twahaarah:

  1. A Muslim stays twahara (paak) at all times.
  2. Muslims  do  not  stay  najies ( naapaak)
  3. A  Muslim’s  body  and  clothing  should be always  twahara.(paak)
  4. Allah Taa’la  likes  Twahara  (paak) people.
  5. To  stay  twahara  (paak) and  clean is  half  of  layman  (faith)

The Qaa’bah and  Qiblah

     What   is the Qaa’bah?
  1. The word Qaa’bah in Arabic means square.
  2. A  square  house  was  built  in  the  great  Masjid of  Makkah  Mukarramah.
  3. This  ( big square  unit) was  the  first  house  built  for  the  Ibaadah (worship) Allah Taa’la.
  4. The first house for worshipping Allah Taa’la was built in Makkah Mukarramah.
  5. This large house of Allah Taa’la is called Qaa’bah.
  6. The  Qaa’bah  was  first  built  by  Hudhrut Aadam  (a.s) and  then rebuilt  by  Hudhrut  Ibraahiim (a.s)
  7. We all perform prayer facing the holy Qaa’bah.  This Qaa’bah is in the great, sacred   Masjid of Makkah Mukarramah.
  8. The Qaa’bah is our Qiblah (direction).
  9. The Qaa’bah is also the Qiblah (direction) for all Muslims.


Which direction is called the Qiblah?

  1. The  direction which  we  face  in prayer  (namaaz) towards  Makkah  Mukarramah  and  the  Qaa’bah,  is  called  the  Qiblah.
  2.  We  must  stand  facing  the  Qiblah  (direction) in  our  built  five  daily  prayer(namaaz).
  3. All  our  Masjids  are  built  facing  the  Qiblah  which  is  the  direction towards  the  Qaa’bah.

D.FIQ-H: AADAAB.

Aadab of eating

  1. We should wash both our hands before eating.
  2. We should cover our heads when eating.
  3. We should sit on floor to eat.
  4. We  should  recite:

Bismillahr Rahmaanir Rahiim

Before commencing to eat or drink. (Bukhaariy, Muslim)
.
  1. We should eat or drink with the right hand.
  2. We should not eat or drink with the left hand.
  3. The Shay’taan eats and drinks with the left hand.
  4. Without complaining, quietly eat whatever has been prepared at   home for a meal.
  5. We  should  not  insist  or  demand  on  only  having  special  things  that  are  not on  the  table.
  6. We should not eat very hot food.
  7. We should not blow into very hot food to cool it.
  8. We should not stand and eat or drink.
  9. We should not walk about and eat or drink.
  10. We should drink water and liquids bit.  We  should  drink  slowly, taking three  small  mouth  full, and  pause  after  each  draught(not  drinking all  in  one gulp).
  11. The  first  amount  should  be  a  small  sip, the  second  a  bit  more and  the third  draught  greater  than  the  second  quantity  drunk.
  12. We  should  cleanly  eat  up left  over  gravy  and  other  food   bits  and  pieces  in  our  plate.  We  must also  not  leave  bread  crumbs  on  the  table  cloth.
  13. We  should  clean  the  plate  with  the  index  finger  of  the  right  hand,  and  also  lick  our  fingers  clean upon  having  eaten.
  14. We  must  not  leave  any  small  amount  in  our  plates,  bowls,  glasses  or  cups  upon  having  eaten,  or  when  drinking.  This is wasteful.  Muslims are forbidden to waste good food and healthy drinks.
  15. We  should  wash  our  hands  with  soap  after  eating, and  also,  gargle  our  mouth  with  water.
  16. We  should  wipe  our  hands  with  a  towel  after  washing  them.
  17. Upon  having  eaten  a  meal  say:

Alhamdulillahilladhii Atwoa’manaa, Wasaqaanaa,   Wajaa’lanaa   Muslimiina
   (Abuu Daauu’d, Ibn Maajah, Tirmithy)


Aadaab   when visiting   the toilet

Aadaab of Istinjaa’
(i.e., washing after relieving oneself)

  1. Muslim must squat when relieving them selves.  
  2. Our  Prophet  (s.a.w) taught  the  Muslims  to  squat  when  answering  the  call  of  nature.
  3. Muslims must perform Istinjaa’ with   water after urinating and relieving themselves.
  4. Muslims  must  use  the  left  hand  to  wash  when  performing  Istinjaa’.
  5. Clean water must be used for Istinjaa’.
  6. Muslims  must  not  face  the  Qiblah 
  7. Muslims also must not keep their backs towards the Qiblah direction when revealing themselves.
  8.  Muslims should take care that urine doe’s splash onto their body or clothing.
  9.  Muslims must wash their hands with clean water Istinjaa’. To use soap and water when washing one’s hands is better and desirable.

Mafunzo ya uislam-Fiqh


FIQ-H A’QAAID

Mwenyezi  Mungu  Mtukufu 

1.  Mwenyezi  Mungu   Mtukufu  hajielezi  kwa  mtu  yoyote.
2.  Lazima  tukubali  Maamuzi  ya  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu.
3.  Tusilalamike  na  matendo  ya  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu.
4.  Mwenyezi  Mungu Mtukufu  anawapenda  walio  watiifu.
5.  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  pekee  ndie  anae  jua  matukio  yatakayotokea  baadae.
6.  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  pekee  ndie  anajua  wakati  gain  mtu  atazaliwa  na 
     Wakati  gani.atakufa.
7.  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu pekee  ndie  anayeleta  mvua.
8.  Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  pekee  ndie  anaewaponesha  wagonjwa.
9.  Mwenyezi  Mungu  Mtikufu  ndie  anaebariki,  na  anawafanya  watu  kua  matajiri  au
     Maskini.
10. Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  pekee  ni  Mfalme  wa  wafalme  wote.
11. Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  pekee  ndie  mwingi  wa  kurehemu.
12. Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  ni  mwingi  wa  msamaha.
13. Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  ndie  anaempa  mtu  heshima  na  cheo.
14. Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  ni  msikivu  na  huona  kila  kitu.
15. Menyezi  Mungu  Mtukufu  pekee  ndie  anaefaidisha  au  anaweza  kumuathiri  mtu 
      Yoyote.
16. Mwenyezi  Mungu  Mtukufu  anatoa  muongozo  kwa  yule  anae  mtaka.
17.  Mwenyezi Mungu Mtukufu  anamwaga  rehma  zake  kwa  viumbe  vyake  vyote.
18.  Mwenyezi Mungu  Mtukufu  pekee  ndie  anae  toa  riziki.
19.  Tujaribu  kuzilinda  imani  zetu  na  tuishi  kutokana  na  mafundisho  ya  Mwenyezi 
      Mungu  Mtukufu  na  kipenzi  chake  mtune  Muhammad(s.a.w).

Kalimatut  Tawhiid

Laa  ilaaha  illa  llah wahdahu  laa  shariikalahu  lahul  mulku  walahul  hamdu  yuhyii  wayumiitu  biyadihilkhayru  wahuwa  a’laa kulli shay in qadiiru.

Tafsiri

Hapana  Mola  apasaye  kuabudiwa  kwa  haki ila   Allah   ni  mmoja  na  hana mshirika. Ufalme  ni  kwake na  sifa  zote  njema  ni  zakwake.  Anatoa maisha  na  anasababisha  kifo  katika  mikono  yake  yote  ni  mazuri  na  anauwezo  wa  kila  kitu.(Tir mithiy)

FIQ-H DINIYAAT

   HANAFIY
Kuna    faradh  ngapi  za  udhu?
(umoja  faradh, wingi  faraa-idh)

Kuna  faradh  nne  za  udhu.
Faradh  za  udhu ni:

  1. Kuosha  uso  wote  mara  moja.
  2. Kuosha   mikono  yote  mpaka   kwenye  vifundoni  mara  moja.
  3. Kupaka  maji  katika  kichwa  angalo  robo  mara  moja.
  4. Kuosha  miguu  yote  mpaka  kwenye  vifundo  mara  moja.

Jinsi  ya  kuweka  udhu.
  1. Elekea  qibla  wakati  wa  kuweka  udhu; baadae  weak  nia  ya  kuchukua  udhu.
  2. Soma:  Bismillahr  Rahmaanir Rahiim.
Kwa  jina  la  mwenyezi  Mungu,  Mwenye  kuneemesha  neema  kubwakubwa  na  Mwenye  kuneemesha  neema  ndogondogo.

      3.   Tumia  mswaki  na  baadae   osha  viganja  vyote viwili  mpaka  kwnye  vifundo 
             mara  tatu.  (Khilaal  ya  vidole  ifanywe   wakati  wa kuosha  mikono.mwanzoni
             mwa  kuweka  udhu.
   
 4.  Sukutua  mara  tatu  (tumia  mkono  wa  kulia).

  1. Weka  maji  kwenye  pua  na  safisha  tundu  za  pua  kwa  kutumia  kidole cha 
Kushoto  mara  tatu.

  1. Osha  uso  wote  mara  tatu.

7.   Eneo  la  uso  ni  kutoka  kwenye mstari  wa  nywele  juu  ya  paji  la  uso  mpaka
      chini  ya  kidevu,  na  kutoka kwenye  sikio  hadi  sikio jenjine.  Maji  lazima 
      yafike  kwenye  ngozi  ilioko  chini  ya  nyusi.

8.   Osha  mkono   wa  kulia  mpaka  kwenye  vifundo  vya juumara  tatu,  baadae 
     Osha  mkono wa kushoto mpaka  kwenye  vifundo  vya  juu  mara  tatu.

  1. Fanya  mas-h  ya  kichwa  chote, masikio, sehemu  ya  nyuma  ya  shingo, na 
Kufanya  khilaal  ya  ndevu  na  vidole  vya  mikono  yote.

  1. Baadae  osha  mguu  wa kulia  mpaka  kwenye  vifundo  mara  tatu; ukisha 
Osha  mguu  wa  kushoto  kwa  utaratibu  huo  huo  mara  tatu. (Khilaal  ya 
Vidole  vya  miguuni  ifantike mwanzoni  wakati  wa  kuosha  miguu).

  1. Baadae  fanya  khilaal  ya  vidole  vya  miguu.
  2. Soma  dua  baada  ya  kuchukua  udhu.



Maelezo  kwa   Ustaadh
      Wafahamishe  wanafunzi  kwamba  khilaal  ni  kupitisha  vidole  vyenye maji     vya  mkono  mmoja  hadi  vidole  vyenye  maji  vya  mkono  mwingine.  Khilaal  ya  ndevu  ni  kupitisha  vidole  vyenye  maji  vya  mikono  yote kwenye  ndevu   ikiwa  ikiwa  viganja  vyote  vikielekea  kwenye uso. Musha  na  khilaal  lazima  zielezwe  kwa  vitendo  na  waonyeshwe  wanafunzi.

Ni  yapi  majina  yaswala  tano  za  kila siku?


       
Faj-r         
Adhdhuh-r
Laa’swi-r
Maghrib
Ishaa’

Ni  yapi  majina  ya  miezi  ya  kiislam?

Majina  ya  miezi  ya  mwaka  ni:
1.      Muharram
2.      Safar
3.      Rabiul  Awwal
4.      Rabiul  Aakhir
5.      Jumadal  Uulaa
6.      Jumaadal  Aakhir
7.      Rajab
8.      Shaabaan
9.      Ramadhaan
10.  Shawwal
11.  DhulKaadah
12.  DhulHijja

E. FIQ-H:  AADAAB

Jinsi  Namna Gani  waislam  watumie  choo?

         1.Waislam  mwanzo  wasome  Bismillah  na  dua ya  kuingia  chooni.(Allahumma inniy audhubika minal ubuth wal abaith)
         2. Waislam  waingie  chooni  kwa  kuanzia  mguu  wa  kushoto  mwanzo.
         3. Waislam wasiingie  chooni  bila kuhifadhi  kichwa.
         4. Waislam  wasende  chooni  bila  viatu.
         5. Waislam  wasichuchumae  chooni  wakiwa  wameelekea  Qibla  na  wala  wasikae   wakiwa  migongo  yao  imeelekea  Qibla.
         6. Waislam  haatakiwi  kula, kunywa,  au  kuongea  chooni.
         7. Waislam  hawaruhusiwi  kusoma  vitabu  au  magazeti  chooni.
         8. Waislam hawaruhusiwi  kusoma  dua, kalmia au  aya  ya  Qur-aan chooni.
         9. Waislam   hawaruhusiwi kukojoa kwa  kusimama   sehemu  yoyote  hata kama  ni  chooni  au  ni sehemu  ya  kuogea.
       10. Waislam  hawaruhusiwi  kusimama  na  kukojoa  na  kukojoa  kwenye vichochoro  vya  majengo  au  nyumba, kwenye  ukuta, kwenye  vipango  na  mashimo juu  ya  miti, ,au  sehemu  ya  juu  au  kupingana  na  upepo.

      11. Mkojo  na  choo  kikubwa  ni  najisi  na  si  twahara. Hivi  si  twahara  wala  sio  safi  kutokana  na  Dini  yetu.  Mkojo na  choo  kikubwa  lazima  visafishwe na  ziondolewe  katika  mwili,  nguo, viatu  na  sehemu  tunazotumia  kwa  kuosha.  Hii  ifanyike  kwa  kutumia  maji  safi.

12. Kuosha  sehemu  za  siri  inapotokea  haja  ndogo  na  kubwa  inaitw  istinjaa.
13. Waislam  wafanye  istinjaa  kwa  kutumia  mkono  wa  kushoto, atumie maji  baada  ya  kukojoa  au  baada  ya  kujisaidia.
14. Waislam  watoke  nje  ya  choo  kwa  mguu  wa kulia.
15. Waislam  waoshe  mikono  yao  inapendeza  kwa  kutumia  sabuni,baada  ya  kutoka  chooni.
16. Waislam  wasijisaidie:

a)      Kwenye  mitaa  au  hadharani.
b)      Chini  ya  miti  ya  matunda.
c)      Miti  ambayo imeoteshwa  kwa  ajili  ya  kivuli  pembeni  mwa   barabara.
d)      Kwenye  bustani  za  binafsi  au  za  wote.
e)      Kwenye  mabawa  ya  kuogelea  au  mabawa  ya  maji.
f)        Sehemu  za  kuhifadhia  maji  au  sehemu  zinazomwagiliwa  maji.
g)      Pembeni  mwa  handaki  au  mto.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.

KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:

+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617

Email: tibaherbs@gmail.com