Kwa hiyo mtu yoyote akitaka kuwa bora hapa duniani na kesho Akhera lazi aamrishe mema na kukataza maovu, hii ina maana akiona maovu kama wizi, uzinifu, uchawi, ulevi, ugomvi, n.k inabidi akataze kwa uwezo wake yasiendelee kufanyika katika jamii na aamrishe kusali, kutoa zaka, kuacha dhuluma zozote hii itamfanya awe bora mbele ya mwenyezi Mungu na atakuwa katika umma bora uliokusudiwa.
nafikiri hakuna mtu asiyetaka kuwa katika umma bora kwa kumarisha mema na kukataza mabaya na yeye kuwa mfano kwa yale anayoyaamrisha kuyafanya wengine mema
OFISI YETU
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:
+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617
Email: tibaherbs@gmail.com
No comments:
Post a Comment
CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA