Wednesday, May 30, 2012

Walokole washirikiana na Sheitani kupotosha Waislam

Bismillah Rahmani Rahiim.
Walokole wanatumia mbinu ya maombi kwa watu wenye shida kama magonjwa, ugumu wa maisha, kutokuwa na kazi, kutozaa, n.k kuwapata watu wa madhehebu mengine. Hii kitu siyo ya mchezo kwani mtu akigusa kwenye afya na matatizo ya kiuchumi anapata wasikilizaji wengi na hatimaye akidai analo jibu la shida hizo lazima hawapati wengi hasa kama watu watakuwa wamefikia njia panda kimatatizo.

Kuna suala la maradhi mbali mbali ya kawaida yenye kutibiwa hospitali na kuona yale yasiyotibiwa hospitali na ambayo chanzo chake ni sheytwani ama akiwa pekee yake au akishirkiana na wanadamu yaani wachawi kudhuru wanadamu wenzao kwa hali moja au nyingine ndipo walokole huweza kuonyesha umaarufu wao wa kutoa mapepo kama wasemavyo kuyakemea na kutoka. kwa mtu asiye msomi wa dini na hajui mbinu za sheitani za kupoteza akiona mapepo yametoaka yaani majini husema ulokole ni dini ya kweli na hapo hapo uamini na kujiita mlokole na ukimuuliza atakueleza kuwa Yesu anaponya na aliniponya, hii ni janja ya sheitani kutoka kwa kusikia sauti ya mchungaji ili watu wengi waamini waingie katika ulokole na hatimaye watakufuru na kumuita Nabii Issa(AS) Mungu wakati si Mungu bali Mtume aliyetumwa na kupewa injili kuhubiri wanadamu hasas waisraeli.

Tumeshuhudia hata waislam wanakwenda eti kuombewa na wengine wanadai wamepona kumbe sheitani anafanya ujanja na kujitoa na jeshi lake kwa mgonjwa kama kiinimacho ili watazamaji waamini na wapotee kwa kuamini kuwa Yesu ni Mungu na ndo katoa mapepo, na hii ukiamini hivyo ni kufuru kubwa kwani Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana kinachomfanana katika viumbe vyote ila yeye ndiye aliyeviumba


Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.

  • Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
  • Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
  • Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
  • Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
  • Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
  • Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
  • Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
  • Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
  • Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
  • Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
  • Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
  • Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
  • Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
  • Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
  • Kuongea usiku na kupiga kelele
  • Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
  • Kuota uko msituni mara kwa mara
  • Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
  • Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
  • Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
  • Kuota uko makaburini mara kwa mara
  • Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo
  • Kutingisha baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
  • Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
  • Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghafla

Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi


Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.

Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.

Dawa nyingine za kunywa ni hizi:

Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.


 MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
  1. POWERFUL OIL
  2. MT32
  3. SAFISHA

MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA. 

1.POWERFUL OIL


HAYA MAFUTA YANATIBU:

  • KUONDOA NGUVU ZA GIZA
  • KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
  • KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
  • KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
  • KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
  • KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
  • KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
2.MT32

 DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.

UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
  • UCHAWI ULIOKO MWILINI
  • KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
  • KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO 
  • KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
  • MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
  • KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
  • KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO




3.SAFISHA

 Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).

Sasa dawa hii ina faida hizi:
  • Kupunguza uzito
  • Kuondoa uchafu tumboni
  • Kusaidia kupata choo
  • Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
  • Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
 KWA WALE WANAOTAKA KUPUNGUZA UZITO NAO INAWASAIDIA SAMBAMBA NA KULA MILO ISIYO NA MAFUTA MENGI NA WANGA KWA WINGI. UKISHA TUMIA GLASS 1 BAADA YA MASAA KAMA SITA UNAHARISHA KWA KIASI FULANI NA MPAKA SIKU 3 UNAKUWA UMEPUNGUA NA WEWE MWENYEWE UTASIKIA UMEKUWA MWEPESI

Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649

Dar es Salaam, Tanzania.

Why terrorism in the world

Terrorism exists because of powerful ones to act unjustly against weak ones and  this is due to human nature of revenge once suppressed by any body.

Let we refer the examples of terrorism existing in the world now, we see groups of people like african people, asians mainly muslims and poor countries .  Muslims as a group have an altitude of being oppressed by western countries due to their faith of islam. This is being observed when there are any conflict between muslims countries and how western countries reacts compared when the same conflict occured in non muslim countries. This situation plants the anger among muslim youths around the world and try to react open and secretly against main actors of the game.

What to be done to minimise terrorism?
Solution on the table is United nations Members and Big nations(G7)to practice justice and to be fair during any conflict existing in any country or between countries, i mean that muslims countries, poor countries or non muslims countries in Asia or any continental.

Second solution is to avoid religious and political discriminations and unfair intereference in religious conflicts.

Third solution is to educate people especially youths to tolerate when religious and political conflicts arises in their countries.

Fourth solution is to assist poor countries economically so that citizens especially youths will not be conviced by money and material wealth to join terrosist groups.

Fifth is to rely on UN regulations and Rules of  how to maintain world security by avoiding nuclear weapons and dangerous misiles to be acquired by any nation, but as we see big nations have nuclear weapons and dangerous misiles at the same time other nations are being sunctioned for trying to acquire nuclear weapons like big countries. This is not fair if you want to maintain peace because other countries will not obey UN resolutions and once the sunctions will be implemented to the particular country the citizens will suffer even more than the rulers of the country and this will initiate terrorism in the world because will activate anger and poverty to the citizens.

Friday, May 11, 2012

Funguo katika mambo ya Kheri-Sheikh Musa Abeid Kashai markaz Bukoba

Tarehe 10/5/2012 Sheikh Musa Abed Imam wa msikiti wa Markaz kashai Bukoba Tanzania aliwapa nasaha waislamu wanaoswalia katika Msikiti huo kuhusu kuazimisha baadhi ya siku za kishirikina zinazotambuliwa kama sikukuu katika nchi mbali mbali ikiwemo Tanzania.

Baada ya hapo kwa ufupi alitoa waadhi kuhusu funguo za mambo ya kheri ili waislamu wazijue hizo funguo na wazitumie kuelekea katika kheri Insha Allah.

Funguo katika mambo ya kheri ni hizi:

Ufunguo wa pepo ni Laa  Illaha Illa  llah
Ufunguo wa Riziq ni kuomba maghfirah na kujishughulisha kufanya kazi
Ufunguo wa kuongezewa na Allah ni kushukuru Allah
Ufunguo wa heshima ni Kumcha Allah na kufuata mafundisho ya Mtume(SAW)
Ufunguo wa Swala ni Twahara
Ufunguo wa Hija ni Kuhirimia nia ya Hija
Ufunguo wa taufiq ni hofu na shauku
Ufunguo wa Nusura ni subira

Pia Sheikh Musa Abed aligusia funguo katika mambo ya shari:
Ufunguo wa maovu ni pombe
Ufunguo wa zinaa ni mziki
Ufunguo wa udhalili ni uzembe
Ufunguo wa moto ni shirki
Ufunguo wa fitina ni uongo

Tuesday, May 1, 2012

Umma Bora Duniani

Umma bora duniani kuliko umma zote zilizopita ni umma wenye kuamrisha kufanya mema na kuzuia kufanya maovu hapa duniani. Hii kazi ilifanywa na mitume pekee yao huku enzi za mitume, lakini Mwenyezi Mungu anasema ndani ya Qur'an kuwa waislamu ni umma bora kama wataamrisha mema na kukataza mabaya.

Kwa hiyo mtu yoyote akitaka kuwa bora hapa duniani na kesho Akhera lazi aamrishe mema na kukataza maovu, hii ina maana akiona maovu kama wizi, uzinifu, uchawi, ulevi, ugomvi, n.k inabidi akataze kwa uwezo wake yasiendelee kufanyika katika jamii na aamrishe kusali, kutoa zaka, kuacha dhuluma zozote hii itamfanya awe bora mbele ya mwenyezi Mungu na atakuwa katika umma bora uliokusudiwa.

nafikiri hakuna mtu asiyetaka kuwa katika umma bora kwa kumarisha mema na kukataza mabaya na yeye kuwa mfano kwa yale anayoyaamrisha kuyafanya wengine mema

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.

KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:

+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617

Email: tibaherbs@gmail.com

Mwenyezi Mungu ni Mmoja

Mwenyezi Mungu hatasamehe binadamu yoyote atakayemshirikisha katika ibada, hii ina maana inatakiwa kumuabudu yeye peke yake bila kuchanganya kitu au kiumbe chochote katika ibada ya kumuabudu Mwenyezi Mungu. Hii ina maana kuwa watu wote wanaofuata dini ya haki ambayo ndio dini ya maumbile na inaendana na mazingira ya zama zote na dini hii itazidi dini zote hata kama watachukia wenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu.

Kwa hiyo uislamu ndio dini ya haki na itazidi kushinda dini zote na hii ina maana waislamu tujizuie kumshirikisha Mwenyezi Mungu kwani shirika ni dhuluma kubwa sana na Allah(SW) hatamsamehe mshirikina ila akiweza kutubu kabla ya kufa na toba ya kweli ndipo atasamehewa.

Wale ambao hawajabahatika kuwa waislamu basi nawafikishia ujumbe kuwa wafuate dini ya uislamu kwa kukiri kuwa Mwenyezi Mungu ni mmoja na Mtume Muhamad(SW) ni Mjumbe wake aliyetuma kwa ajili ya ulimwengu wote na alifikisha ujumbe kwa wanadamu kama mitume wengine walivyofanya mfano Nabii Musa, issa, Ibrahimu, Nuhu, Yakub, na wengineo.

Kuna Baadhi ya madhehebu ya kikristo wanasema Mungu ni mmoja katika utatu yaani Mungu baba, Mungu mwana na Mungu Roho mtakatifu, hii ni kufuru Mungu ni mmoja tu, hakuzaa wala hakuzaliwa na hakuna kinachomfanana katika vyote alivyoviumba na atakavyoviumba. Yeye huamaua kitu na kukiamrisha kuwa na mara mmoja huwapo kama atakavyokuwa ametaka kuwa basi kinakuwa.

Kuna wanadamu kama nabii  Adamu hana baba wala mama, Bi Hawa hana baba wala mama na alitoka kwenye ubavu wa Adamu na Huzair hajulikani baba wala mama yake, na hawa wote huwezi kuwaita Mungu wala watoto wake wa kuzaa, hata malaika si watoto wake ila ni viumbe miongoni mwa viumbe alivyoumba. kwa hiyo ni kufuru kumuita Yesu(Nabii Issa Bin Mariam) kuwa Mungu mwana kwa sababu eti hana baba. je Nabii Adamu ambaye hakuwa na baba wala mama tunamuitaje? Tafadhali acha kufuru itokayo vinywaji mwenu na Mwenyezi Mungu atawasamehe mkiwa waislamu na kuacha ibada za kiushirikina.

Kwa nini dini ya uislamu ni ya haki kuliko dini zote?

Sababu ni hizi zifuatazo:
Mwenyezi Mungu amesema mwenyewe ndani ya Qur'an tukufu
Ibada za kiislamu zinazuia kushirikisha Mwenyezi Mungu
Waislam tunafanya ibada bila kuimba wala kukaa kwenye viti na hatuvai viatu msikitini na kuchanganyikana na wanawake mchanganyiko wa kuhatarisha hulka njema ya waumini wakiwa kwenye ibada
Stara ya mavazi ni ya kufunuka mihili kama wachamungu na watawa wa kale wote walikuwa wanavaa nguo za stara
Viongozi wa za kikristo wanavaa kofia na makanzu, masister wanavaa vitambaa na nguo ndefu za stara kama waislamu wanavyoagizwa.
Waislamu wote wanafundishwa ni bora kuvaa kofia na makanzu kama mavazi ya kiucha Mungu, je mbona waumini wa kikristo wanazuiliwa kuvaa kanzu na kofia kanisani na hali mapadri, maaskofu, makardinari na maaskofu wanavaa kofia na makanzu? Hii inaonyesha kuwa uislamu unaamrisha mavazi kwa kila muislamu ya kiucha Mungu na inaonyesha ukweli wa dini hii ya maumbile.
Kuna mafundisho ya Mtume(SAW) yanayofundisha namna ya kuzika muislamu akifa, kufungisha ndoa ya halali, mtoto akizaliwa namna gani ahudumiwe, kutozini kabla ya ndoa na baada ya ndoa, madhara ya pombe na kutokula nguruwe na madhara ya kamali na riba, la kushangaza huwezi kuona maelekezo ya wazi kwa dini za kikristo ila utaona vitabu vinavyoruhusu kula riba, kunywa pombe bila kulewa na kufuga nguruwe kwa wingi. Jambo moja la kusikitisha watu wanakaa kwenye zinaa mpaka wanazeeka na katika uzee wao wanafungishwa ndoa na mapadri pamoja na wachungaji kiurahisi na siku hizi ni jambo la kawaida ndoa nyingi zinafungwa kwa mtindo huu wa kuruhusu zinaa kwa miaka kadhaa na baadaye kanisa linabariki watu wakiisha ichoka zinaa wanabarikiwa rasmi uzeeni au muda watakao amua.

Sasa kanisa la Anglikani limeruhusu kufunga ndoa mwanaume kwa mwanaume na kanisa linabariki ndoa hizi tumeshuhudia uingereza na kwingineko mambo haya yanafanyika wazi na kanisa linabariki ndoa hizi, uislamu unakemea na hauruhusu tendo hili na kuruhusu muislamu kufanya hivyo sembuse kufunga ndoa!!!

Yesu na Musa walifunga na Biblia inasema kufunga bila kula chochote lakini wakristo wanasema ule kidogo usishibe na wengine wanasema uache unachokitaka sana mfano kama unataka nyama sana usile nyama siku hiyo utakuwa umefunga, je mbona Yesu au Musa walifunga siku kadhaa bila kula chochote mchana na hakuna ruhusa ya kufunga nusu nusu katika biblia nzima hii inaonyesha kuwa wanafuata mafundisho yao na wanaacha mfundisho ya kweli ya Mwenyezi Mungu. ndugu msomaji acha ushabiki na kurithi dini fuata ukweli na uislamu unaonyesha kwa hoja kidogo hizi nilizotowa hapo juu kuwa ni dini ya kweli na aliyechelewa aamuke leo na aingie katika uislamu mzimamzima ili afuate dini ya kweli na ya haki.