Thursday, July 9, 2015

Dua na kisomo ni tiba kubwa ya kufukuza mashetani wa aina zote

Dua na kisomo inatosha kufukuza majini na kutibu uchawi kwa uwezo wa Mungu mmoja wa pekee asiyekuwa na mshirika

Soma suratil Fatiha, Ayatul Qurusiyu mara 9 au zaidi Qul zote tatu kwa kurudia na soma Suratil Baqara 1-5 kisha mswalie Mtume mwanzo na mwisho na jitahidi kufanya mema na kusadia wenye shida utakuwa na uwezo wa kuongozwa na Allah aliyetakasika.

kwa dua na kisomo(Ruqya)

 ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.

OFISI YETU

TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.

Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com 

 +255764041507/+255717147649
Dar es Salaam, Tanzania.

No comments:

Post a Comment

CHANGIA MAWAZO YAKO/USHAURI KWA MANUFAA YA JAMII. UNA MAWAZO YAKO NA YANAWEZA KUWA NA MANUFAA YATOE TAFADHALI. KARIBU SANA