Mdilu wa Jimbo la Bukoba Mjini atoa changamoto kwa waislamu kuhusu kufuata mafunzo ya uislamu kamili yaani kufuata mafunzo yaliyopo kwenye Qur'an na Hadith za mtume(Sunna) ili kuepuka na matatizo mbalimbali ya kilimwengu kuanzia kwenye familia na jamii kwa ujumla. Matatizo mengi yanayoathiri jamii yasingekuwepo kama sisi wanadamu tungekuwa tunafuata mafunzo ya uislamu vilivyo. Kuanzia matatizo ya kifamilia na kiuchumi yanayotokea kila kukicha na kusababisha maadili kuzidi kuporomoka katika jamii yangekuwa kama historia kama tungekuwa tunafuata maagizo ya Allah(SW) na Sunna za mtume(SAW) vizuri.
Mdilu wa Jimbo Sheikh Athumani akiwa Msikiti wa Markaz Kashai tarehe 12 baada ya Sala ya Magharib alihamasisha uchangiaji wa ujenzi katika Msikiti wa Kashai markaz na waislamu waliokuwepo walichanga ili ujenzi wa sehemu ya kutawadhia usikwame kwani uislamu unasisitiza usafi na udhu unakuwa salama na timilifu utakapopatia udhu sehemu inayofaa na salama. Zoezi hili la kuchangia maendeleo ya uislamu linaendelea kwani maendeleo hayawezi kupatikana bila waislamu kuchangia maendeleo yao na hii itamfanya mchangiaji apate thawabu na hii ni faida hapa duniani na baada ya kufa kwani wema katika uislamu utalipwa siku ya kiyama, sadaka hizi zinasaidia ALLAH (SW) kutuhurumia na kutufutia baadhi ya madhambi yetu tunayoyajua na yale tusiyoyajua, kwa hiyo ndugu waislamu toeni sadaka mara kwa mara ili tupate radhi za Allah(SW).

WhatsApp :+255621870342. Muabudu Mungu mmoja wa Pekee na hana mshirika, Hakuna Mtume aliyetumwa kama Mungu wala Mwana wa Mungu. (Qur'ani) Al Imran 3.31,Yohana 7.16-18. Shetani na kundi lake miongoni mwa wanadamu amejizatiti kuwapotosha watu kupitia shida mbali mbali. Imani kuhusu Mungu mmoja wa pekee ndo suluhisho la kudumu na kuishi na matumaini hapa duniani. Wasiliana nasi upate ushauri na tiba WhatsApp :+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com, +255 762053174
Monday, February 13, 2012
Thursday, February 2, 2012
Ubora wa kusoma Qur'an na kuzingatia yaliyomo
Assalam Aleikum,
Ninachukua nafasi hii kuelezea ubora wa kusoma Qur'an na kuzingatia yaliyomo, kwanz akabisa Qur'an ni kitabu chenye ujumbe kutoka kwa muumba na ujumbe huu unahusu mwanadamu na viumbe wengine namna ya kuishi duniani kwa utaratibu mzuri anaridhia Allah kwa faida ya mwanadamu mwenyewe. Hii ni kama unaponunu redio au TV na unapewa kitabu cha kuelezea namna ya kuitumia redio au TV uliyonunua kwa uzuri zaidi na hata ikiwa na hitilafu utasoma kitabu hicho kiitwacho kwa kiingereza instruction manual na hii hata kwa fundi muelewa ukimpelekea kifaa kipya ambacho hana uzoefu nacho lazima atakuuliza hii manual ya kutumia ili asome na kurekebisha ubovu kwa uhakika na haraka. Sasa mwanadamu aliyemuumba ni Allah(SW) na anajua vizuri uzaifu wake na hatima yake kwa hiyo Qur'an ndo Manual ya mwandamu namna atakavyoishi kwa mujibu aliyemuomba ambaye ni Mwenyezi Mungu. Ni wajibu wa kila muislamu kujifunza Qur'an na kuisoma mara kwa mara na kuzingatia yaliyomo ili iwe ndo muongozo katika maisha haya mafupi ya duniani na hatimaye apate ufanisi kutokana na muongozo wa Qur'ani hapa duniani na baada ya kufa.
Qur'an kuisoma tu bila kuzingatia ujumbe itakuwa bado hujatimiza lengo mahsusi ya kuteremshwa kama ujumbe kwa wanadamu na ujumbe ukiisoma basi tekeleza maagizo na maarisho ili usomaji wako wa Qur'an uwe wenye manufaa.
Kwa hiyo ndugu msomaji soma Qur'an na uzingatie yaliyomo na utekeleze maagizo na hii ndo itakuwa ufanisi wako wa hapa duniani na Akhera.
Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.
Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi
Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.
Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.
Dawa nyingine za kunywa ni hizi:
Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.
MADAWA HAYA KWA MAJINA NI:
MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA.
1.POWERFUL OIL

HAYA MAFUTA YANATIBU:
DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.
UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
3.SAFISHA
Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).
Sasa dawa hii ina faida hizi:
Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.
Ninachukua nafasi hii kuelezea ubora wa kusoma Qur'an na kuzingatia yaliyomo, kwanz akabisa Qur'an ni kitabu chenye ujumbe kutoka kwa muumba na ujumbe huu unahusu mwanadamu na viumbe wengine namna ya kuishi duniani kwa utaratibu mzuri anaridhia Allah kwa faida ya mwanadamu mwenyewe. Hii ni kama unaponunu redio au TV na unapewa kitabu cha kuelezea namna ya kuitumia redio au TV uliyonunua kwa uzuri zaidi na hata ikiwa na hitilafu utasoma kitabu hicho kiitwacho kwa kiingereza instruction manual na hii hata kwa fundi muelewa ukimpelekea kifaa kipya ambacho hana uzoefu nacho lazima atakuuliza hii manual ya kutumia ili asome na kurekebisha ubovu kwa uhakika na haraka. Sasa mwanadamu aliyemuumba ni Allah(SW) na anajua vizuri uzaifu wake na hatima yake kwa hiyo Qur'an ndo Manual ya mwandamu namna atakavyoishi kwa mujibu aliyemuomba ambaye ni Mwenyezi Mungu. Ni wajibu wa kila muislamu kujifunza Qur'an na kuisoma mara kwa mara na kuzingatia yaliyomo ili iwe ndo muongozo katika maisha haya mafupi ya duniani na hatimaye apate ufanisi kutokana na muongozo wa Qur'ani hapa duniani na baada ya kufa.
Qur'an kuisoma tu bila kuzingatia ujumbe itakuwa bado hujatimiza lengo mahsusi ya kuteremshwa kama ujumbe kwa wanadamu na ujumbe ukiisoma basi tekeleza maagizo na maarisho ili usomaji wako wa Qur'an uwe wenye manufaa.
Kwa hiyo ndugu msomaji soma Qur'an na uzingatie yaliyomo na utekeleze maagizo na hii ndo itakuwa ufanisi wako wa hapa duniani na Akhera.
Tiba sahihi ya magonjwa yasiyopata majibu kisayansi ni maombi na madawa ya kunywa na kujipaka.
- Mfano unaweza kuwa unaota mara kwa mara unalishwa vitu usingizini au unapewa madawa na wakati mwingine unakuta asubuhi umechanjwa chale mwilini au una mikwaruzo.
- Unaweza kuota unafanya mapenzi na watu au wanyama
- Unaweza ota unalima na asubuhi unaamka umechoka
- Unaweza kuhisi mwili wako kuna vtu vinatembea kama siafu au joto lisilo la kawaida sehemu ya viungo
- Kuhisi ganzi na kichwa upande mmoja kisichopona
- Macho kushindwa kuona darasani au ofisini lakini ukiwa nje unakuwa sawa
- Kushindwa tendo la ndoa au kuhisi hupendi kabisa na ukilazimisha unashindwa
- Kupiga mihayo mingi mara kwa mara bila usingizi au njaa
- Kuhisi umebeba vitu mgongoni na kuhisi kifua kizito
- Kuhisi kuna mtu amekusimamia au anakufuata nyuma na ukigeuka huoni mtu huyo
- Kukata tamaa ya maisha na kuona kila kitu hakiwezekani
- Kuingia kwenye hedhi bila mpngilio na kwa shida
- Kutoka damu ya hedhi bila kukoma kwa miezi au damu kupotea na hali huna mimba
- Kuchukiwa na kila mtu bila sababu hata jamaa na marafiki
- Kuongea usiku na kupiga kelele
- Kuota nyoka mara kwa mara na paka hasa weusi
- Kuota uko msituni mara kwa mara
- Kuota uko chooni au bafuni au sehemu chafu mara kwa mara
- Kuota unakojoa mara kwa mara na wakati mwingine unakaribia kukojoa kitandani
- Kuota watu waliokufa na unaongea jamaa zako marehemu mara kwa mara
- Kuota uko makaburini mara kwa mara
- Choo inakuwa ngumu hata kama unakula matunda na unajisaidia mavi kama ya mbuzi kwa taabu na muda wote na hili hali minyoo
- Kutingisha baadhi ya viungo vya mwili na kuhisi kitu kinatembea tumboni mgongoni au sehemu za mwili
- Kuota unagombana na kundi la watu kwa vitisho mpaka unatoka jasho
- Kuhisi woga na moyo kudunda mara kwa mara ghafla
Dalili hizo ni za kufanyiwa uchawi au kuwa na majini yanayokusumbua ya kiuchawi
Kuna tatizo hili sana hasa mtu akiwa amevalishwa nguvu za giza na hata akiwa anafanyiwa mazingira ya kuhujumiwa kwa nguvu za kishirikina.
Tiba yake ni kuwa unajipaka mafuta haya Powerful Oil na hii itafukuza nguvu za giza na negative energies zote zitaondoka na utahisi mwepesi na mwenye akili nzuri za kutafakari.
Unajipaka usoni, kifuani na kichwani kila siku mpaka unaposikia umekuwa sawa hasa siku saba utaanza kuwa sawa kwa uwezo wa Mungu uliopo ndani ya mafuta haya na miti iliyotoa mafuta na dawa zilizomo.
Dawa nyingine za kunywa ni hizi:
Madawa haya yanatokana na mitishamba mbali mbali ya Africa na Mashariki ya Kati na yanatibu magonjwa mengi unayo yajua na yale usiyojua. Madawa haya ni unga umesagwa na ni rahisi kutumia kwenye maji moto au asali na hakuna kemikali yoyote. Powerful oil ni mafuta yenye uwezo mkubwa wa kufukuza na kuzuia nguvu za giza za aina zote.
- POWERFUL OIL
- MT32
- SAFISHA
MADAWA HAYA YA ASILI NA HAYANA KEMIKALI YOYOTE NA MADAWA YENYE UWEZO MKUBWA ALIOWEKA MWENYEZIMUNGU KATIKA TIBA MBALI MBALI KWANI YAMEFANYIWA UTAFITI WA MUDA MREFU NA NI MITISHAMBA ZAIDI YA 30 IMECHANGANYWA, MAFUTA HAYO YANA NGUVU KUBWA YA TIBA.
1.POWERFUL OIL
HAYA MAFUTA YANATIBU:
- KUONDOA NGUVU ZA GIZA
- KUSADIA KUFA GANZI KATIKA BAADHI YA VIUNGO, MIGUU KUWAKA MOTO
- KUFUKUZA MAJINI NDANI YA MWILI
- KUZUIA KUOTA NDOTO ZA KUTISHA
- KUOTA UNAINGILIWA KIMAPENZI USIKU
- KUZUIA WACHAWI KUINGIA NDANI YA NYUMBA YAKO KWA NGUVU ZA GIZA( JIPAKE KABLA YA KULALA MWILI MZIMA KIDOGO TU NA NYUNYUZIA KWENYE NYUMBA YAKO KILA BAADA YA MWEZI HASA KWENYE PEMBE , MADIRISHA NA MILANGONI)
- KUONDOA HALI YAKUWA NA WASIWASI NA KUKATA TAMAA NA HALI YA KUCHANGAMKA(JIPAKE USONI NA KICHWANI NA KIFUANI NA UTAJISIKIA UNAKUWA NA HALI MPYA NA KUONGEZA NGUVU YA KUTOKATA TAMAA)
DAWA HII INAITWA MT32 KWANI NI UNGA ULIOSAGWA KUTOKANA NA MITI 32 YA TIBA.
UNATUMIA KWENYE ASALI AU UNACHEMSHA NA KUNYWA NA INATIBU MAGONJWA MENGI YANAYOJULIKANA KWA VIPIMO NA YALE YASIYOJULIKANA KWA VIPIMO HASA HAYA:
- UCHAWI ULIOKO MWILINI
- KUHISI VITU VINATEMBEA MWILINI
- KUHISI MWILI MZITO NA KAMA UMEBEBA MZIGO
- KUISHIWA NGUVU NA VIPIMO HAVIONYESHI CHANZO
- MISHIPA YA UZAZI KUHISI INAUMA NA CHANZO HUKIJUI
- KUHISI KUNA VITU VINATEMBEA JUU YA NGOZI
- KUHISI MOYO UNAJITINGISHA NA BAADHI YA VIUNGO
3.SAFISHA
Dawa ni mitishamba na inasafisha mafuta yaliyoko mwilili na kwenye utumbo mpana na mwembamba(small and large intestines kwa siku 3 mpaka 7).
Sasa dawa hii ina faida hizi:
- Kupunguza uzito
- Kuondoa uchafu tumboni
- Kusaidia kupata choo
- Kusafisha mishipa na kukupa afya imara kwani mfumo wa chakula ndo unasababisha upate afya nzuri.
- Kama ulilishwa madawa ya uchawi yatatoka yote
Baada ya kuichemsha unakunywa na mnamo masaa 6 utaanza kuharisha na kuendelea kiasi unaharisha kawaida na kutoa uchafu, mafuta, na hata magonjwa ya tumboni, watu wasiopata choo na kinaganda nao wanatoa uchafu huu hatari wa kuozea tumboni na kusababisha vidonda vya tumboni na wakati mwingine kansa ya utumbo. Choo kinakuwa cha shida na mtu akienda chooni anakunya kama kinyeshi cha mbuzi na mwingine anakaa mpaka anapasua sehemu ya haja kubwa na kutoka damu. Hii ikiwa ya muda mredu mishipa hulegea na kusababisha sehemu ya ndani kutoka na hatimaye kupata magonjwa ya ajabu na magumu kutibu hospitalini.
OFISI YETU
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM.
Contacts:
Email: tibaherbs@gmail.com
+255764041507/+255717147649
+255764041507/+255717147649
Dar es Salaam, Tanzania.
Subscribe to:
Posts (Atom)