Tafadhali zingatia elimu kuwa ni wajibu kwa waislam wa kike na wa kiume bila ubaguzi kwani ukimpa mama elimu ni kama umeipatia elimu jamii yote.
Mtafuta elimu yenye manufaa Allah anamlaisishia njia na wepesi unapatikana, kwa hiyo umri isiwe kisingizio cha kutosoma dini na elimu zaidi ya mazingira kwani wafuasi wa Mtume SAW wa kwanza walisoma Hadith na Qur'an katika umri wa miaka 50 na zaidi na wakawa wanazuoni. Je wewe na mimi kwa nini tusiwaige?
OFISI YETU
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:
+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617
Email: tibaherbs@gmail.com
This comment has been removed by the author.
ReplyDelete