
WhatsApp :+255621870342. Muabudu Mungu mmoja wa Pekee na hana mshirika, Hakuna Mtume aliyetumwa kama Mungu wala Mwana wa Mungu. (Qur'ani) Al Imran 3.31,Yohana 7.16-18. Shetani na kundi lake miongoni mwa wanadamu amejizatiti kuwapotosha watu kupitia shida mbali mbali. Imani kuhusu Mungu mmoja wa pekee ndo suluhisho la kudumu na kuishi na matumaini hapa duniani. Wasiliana nasi upate ushauri na tiba WhatsApp :+255621870342, Email: tibaherbs@gmail.com, +255 762053174
Friday, November 25, 2011
UMUHIMU WA ELIMU KTK UISLAM
Mtume wetu SAW alilazimishwa kusoma kwa mujibu wa Qur'an, aya ya kwanza ilimtaka asome na hii ina maana kuwa ni wajibu wa kila muislam kutafuta elimun ya dini na ya mazingira kadiri awezavyo ili aweze kumcha Allah SW kwa uhakika na kumudu upinzani wa mbinu za kuupiga vita uislam.
Tafadhali zingatia elimu kuwa ni wajibu kwa waislam wa kike na wa kiume bila ubaguzi kwani ukimpa mama elimu ni kama umeipatia elimu jamii yote.
Mtafuta elimu yenye manufaa Allah anamlaisishia njia na wepesi unapatikana, kwa hiyo umri isiwe kisingizio cha kutosoma dini na elimu zaidi ya mazingira kwani wafuasi wa Mtume SAW wa kwanza walisoma Hadith na Qur'an katika umri wa miaka 50 na zaidi na wakawa wanazuoni. Je wewe na mimi kwa nini tusiwaige?
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.
Tafadhali zingatia elimu kuwa ni wajibu kwa waislam wa kike na wa kiume bila ubaguzi kwani ukimpa mama elimu ni kama umeipatia elimu jamii yote.
Mtafuta elimu yenye manufaa Allah anamlaisishia njia na wepesi unapatikana, kwa hiyo umri isiwe kisingizio cha kutosoma dini na elimu zaidi ya mazingira kwani wafuasi wa Mtume SAW wa kwanza walisoma Hadith na Qur'an katika umri wa miaka 50 na zaidi na wakawa wanazuoni. Je wewe na mimi kwa nini tusiwaige?
OFISI YETU
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:
+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617
Email: tibaherbs@gmail.com
UISLAM NA UMUHIMU WAKE
Kama wewe hujabahatika kuwa muislam na unasikia uislam kwenye vyombo vya habari ni bora usome Qur'an na mafunzo ya mtume ndipo utajua uislam halisi. Jitahidi kufuatilia uislam wewe mwenyewe bila kuangalia waislam wanafanya nini na vyombo vya habari vinasemaje?
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.
OFISI YETU
TUNA OFISI YA USHAURI NA TIBA DSM VINGUGUTI. UKIFIKA BUGURUNI SHEL SHUKA NA UPANDE MAGARI YA KWENDA VINGUGUTI , TELEMKA KITUO CHA POLISI KIITWACHO MTAKUJA. OFISI YETU IPO KARIBU NA NEW KINYUMA HOTEL.
UKIPANDA PIKIPIKI KUTOKA BUGURUNI SHEL NI SH 1,500/= TU KUFIKA OFISINI.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMIA MAWASILIANO HAYA:
+255 752822056 ,+255654454398, +255 762219617
Email: tibaherbs@gmail.com
Subscribe to:
Posts (Atom)